Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
Husika na kichwa cha habari Hapo juu, eti wana jf imezoeleka Kwa kila binadamu ni jambo la kawaida, akiwa anaangalia kitu ama kuongea na mtu ni lazima afunge macho na kufungua, japo hutokea Kwa haraka sana lkn lazima kila baada muda flani lazima tufanye hivyo, je sababu hasa ni zipi?