Ni sababu ipi iliyokufanya ukate tamaa kulitengeneza gari lako ukaliacha likusanye vumbi na kutu

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Huwaga inafikia steji watu wanayakatia tamaa magari yao wanaamua kutatelekeza magerejini, majumbani, n.k.

Ni sababu ipi iliyokufanya ukate tamaa kulitengeneza gari lako ukaliacha likusanye vumbi na kutu

 
Nadhan wamiliki weng wanachoka ttz kujirudia mara kwa mara alafu awe ameshazunguka kwa waganga wote na pesa ametumia nying
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…