Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Naona mara nyingi linatumika Kwa watu walikuwa na michango fulani ktk jamiiYote haya maneno mawili asili yake ni kiarabu
Marhoom (marehemu) aliekufa, mfu
Hayati :- my life au uhai wangu
Unaweza kumsifia umpendae na kusema Yaa hayati au Umri
Sasa kwa kiswahili hayati halina uhusiano na kifo na sijui liliingiaje
Sent from my SM using Tapatalk
Umeeleza vyema.Hayati:- Mtu maarufu, mwenye hadhi katika jamii ambae kafariki
Marehemu:- Mtu yeyote ambae kafariki
Ki msingi kwa mantiki hakuna utofauti wa kimaana wote ki ujumla wameaga dunia isipokuwa tu labda kabla huyo mtu hajafariki alikuwa na hadhi gani katika jamii.
Sasa kwanini liwe kwetu tu kwa maana tofauti?Naona mara nyingi linatumika Kwa watu walikuwa na michango fulani ktk jamii
Mkuu,Naona mara nyingi linatumika Kwa watu walikuwa na michango fulani ktk jamii
Cute wetu,Hayati anaitwa mtu baada ya kuzikwa na Mara nyingi kama ameacha kitu chochote ambacho jamii iliyobaki inanufaika nacho.
Marehemu ni kabla hajazikwa. Ila sasa hawa wanaoitwa marehemu hata baada ya kuzikwa ni kama hawajaacha chochote katika jamii.
Note: hii ni kutokana na uelewa wangu hivyo si lazima iwe kweli.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Je mleta mada unajua tofauti ya kufa na kuuawa?
Utasikia marehemu hakufa aliuawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri kuona mwalimu mmoja wa kiswahili akija kutoa ufafanuzi hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayati ni yule mtu maarufu kisiasa hasa ngazi za urais na uwaziri mkuu au katika kanisa Papa na kardinali marehemu ndio akina sie