WANADAI: Anayetoa maji mengi huwa anapata multiple orgasm, na anakuwa ana-enjoy sana sex. Hawa wanaodai hivi hutuaminisha kuwa ni majibu ya tafiti za kisayansi. SIE KIENYEJI tunaamini hali hii huwapata wapenda kutumia ndizi kama chakula NA SIO KAMA TUNDA! Ndo maana ukienda Bukoba hali hii utaikuta sana (usiniulize kama K'njaro na Mbeya ni hivi pia).
Suala la harufu wanadai huwatokea mara nyingi wanaopenda kusafisha kunako kwa sabuni! Ati haitakiwi.
USHAURI: Jitahidi ubadili hisia zako na ku-assume kuwa unaya-enjoy sana maji hayo. Ungelijifunza katerelo kidogo ungefaidi zaidi!(Watafute wahaya ni wasomi wazuri kwenye hili). Na umshauri aachane na sabuni anapoosha kunako. Enjoy it!