Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Ni je?binadamu asipokula wala kunywa katika saa 72 anaweza kufa?
Iwapo hawezi kufa,,,kwanini wataalamu wanasema baada ya hizo saa kinachofuatia ni kusafisha eneo la ajali.
Kama ni hivyo bhasi,,janga la kuanguka kwa ghorofa la kariakoo halipaswi kuwa na ukomo wa uokozi,,kwa kuwa kuna matumaini huenda baadhi ya wahanga wakawa ni wazima.
Iwapo hawezi kufa,,,kwanini wataalamu wanasema baada ya hizo saa kinachofuatia ni kusafisha eneo la ajali.
Kama ni hivyo bhasi,,janga la kuanguka kwa ghorofa la kariakoo halipaswi kuwa na ukomo wa uokozi,,kwa kuwa kuna matumaini huenda baadhi ya wahanga wakawa ni wazima.