Ni sababu zipi ziliwafanya hawa washindwe kufufua Viwanda?

Mwijage alikuwa na viwanda 300 kumbe vilikuwa vya mdomoni?
 
Reactions: BAK
jingalao njoo uone ule upuuzi ulikuwa unalishwa na dhalimu uone waliokuwa mawaziri wanasema ulikuwa usanii. Hapa ndio utajua dhalimu alifanikiwa kuwabrainwash wajinga wa aina yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…