Ni sababu zipi zinasababisha HR kutopokea simu au kujibu email baada ya interview?

WAR

Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
49
Reaction score
36
Nimefanya interview na taasisi fulani inayojihusisha na maendeleo ya Jamii, cha kushangaza kuna baadhi ya vitu waliniomba niwasilishe nilivyompigia HR simu yake ya mkononi hapokei wala ujumbe hajibu.

Je, sio sahihi kwa HR kupokea simu ya mtu aliyemfanyia interview?
 
Kwa wenzetu walioendelea mtu akimaliza interview anatuma email ya kushukuru kwa interview na anajibiwa, huku wanahisi unataka wasumbua wakuajiri😄😄
 
Reactions: WAR
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…