T The Saver JF-Expert Member Joined Aug 21, 2014 Posts 202 Reaction score 651 Nov 16, 2021 #1 Kama mnavyoona hapa yaani hata ukiwa unatumia account ya company huwezi KUFOLLOW account za Instagram za machangudoa
Kama mnavyoona hapa yaani hata ukiwa unatumia account ya company huwezi KUFOLLOW account za Instagram za machangudoa
Mpinzire JF-Expert Member Joined Jan 18, 2013 Posts 7,503 Reaction score 13,463 Nov 16, 2021 #2 Mmmhh!
kacnia JF-Expert Member Joined Sep 16, 2014 Posts 4,024 Reaction score 15,796 Nov 16, 2021 #3 katika kupita pita siku moja paa paa ali double tap makalio ya natalia gariboto so hata hiyo itakua katika kupita pita
katika kupita pita siku moja paa paa ali double tap makalio ya natalia gariboto so hata hiyo itakua katika kupita pita
babyfancy JF-Expert Member Joined Oct 20, 2018 Posts 2,176 Reaction score 6,187 Nov 16, 2021 #4 Maybe fake account
M Mkumbwa Jr JF-Expert Member Joined Mar 23, 2016 Posts 2,668 Reaction score 3,751 Nov 16, 2021 #5 Wacha Kazi iendelee
C Chige JF-Expert Member Joined Dec 20, 2008 Posts 13,495 Reaction score 29,872 Nov 16, 2021 #6 Anayebisha, atembelee hiyo akaunti saa 24 zijazo kama hajakuta 47K+ Followers... Akili za wana-JF wanazijuwaga wenyewe, mi nawaambia!! Halafu kuna kasauti nakasikia kananiambia "... na wewe chige nenda, nenda, ka-confirm kama kweli TCCIA wamem-follow Briana" Nahisi haka kasauti kama kana point hivi....
Anayebisha, atembelee hiyo akaunti saa 24 zijazo kama hajakuta 47K+ Followers... Akili za wana-JF wanazijuwaga wenyewe, mi nawaambia!! Halafu kuna kasauti nakasikia kananiambia "... na wewe chige nenda, nenda, ka-confirm kama kweli TCCIA wamem-follow Briana" Nahisi haka kasauti kama kana point hivi....
S St Lunatics JF-Expert Member Joined Aug 29, 2015 Posts 6,644 Reaction score 11,174 Nov 17, 2021 #7 Nao wana Kiu joto kali sana. Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]