Ni sahihi hawa kujiita wachambuzi wa Muziki?

Ni sahihi hawa kujiita wachambuzi wa Muziki?

Sanze M

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2021
Posts
4,141
Reaction score
8,602
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu hasa wale wapenzi wa zamani wa muziki wa dansi kujiita wachambuzi wa muziki hadi kufikia kuwashawishi wamiliki au viongozi wa Redio hasa zile za binafsi kuwaajiri wakiamini watakuwa kivutio na ushawishi kwa wasikilizaji.

Lakini kiuhalisia hawa watu hawana ujuzi wowote wa muziki zaidi ya kuwa wapenzi wa bendi za zamani na nyimbo za zamani.

Hivyo wakati huo walikuwa wahudhuriaji wakubwa wa maonesho hadi kufikia hatua ya kujuana na wanamuziki wa bendi hizo na kuzikariri nyimbo nyingi na wengine walikuwa madereva taxi wakipeleka wapenzi dansini na wao kupata ofa ya kuingia bure ukumbini.

Lakini kiukweli hawana taaluma ya muziki hivyo wengi wao wakiwa kwenye kipindi huishia kupiga mastory ya matukio yaliyokuwa yakijiri wakati huo.

Sasa je ni sahihi watu hao kujiita wachambuzi wa muziki? na wengine kujipa vyeo kabisa utasikia mtu anajiita yeye ni rais wa wachambuzi wa muziki wa dansi.
 
Hebu tune redio one ijumaa saa 5 asubuhi umsikilize Zomboko au msikilize Manju Masoud Masoud halafu ndio turudi hapa kujadili hizi pumba zako.
 
Mtu hajui huo wimbo umepigwa katika mtindo gani,hajui solo imepigwa katika mtindo gani,saxafone,trumpet yaani hajui chochote sana sana atachoweza ni kukutajia washiriki waliopiga tu sasa hapo kachambua nini! Lakini Manju wa muziki atakueleza kila kitu kuanzia mtindo, aina ya upigaji hadi washiriki.
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu hasa wale wapenzi wa zamani wa muziki wa dansi kujiita wachambuzi wa muziki hadi kufikia kuwashawishi wamiliki au viongozi wa Redio hasa zile za binafsi kuwaajiri wakiamini watakuwa kivutio na ushawishi kwa wasikilizaji.

Lakini kiuhalisia hawa watu hawana ujuzi wowote wa muziki zaidi ya kuwa wapenzi wa bendi za zamani na nyimbo za zamani.

Hivyo wakati huo walikuwa wahudhuriaji wakubwa wa maonesho hadi kufikia hatua ya kujuana na wanamuziki wa bendi hizo na kuzikariri nyimbo nyingi na wengine walikuwa madereva taxi wakipeleka wapenzi dansini na wao kupata ofa ya kuingia bure ukumbini.

Lakini kiukweli hawana taaluma ya muziki hivyo wengi wao wakiwa kwenye kipindi huishia kupiga mastory ya matukio yaliyokuwa yakijiri wakati huo.

Sasa je ni sahihi watu hao kujiita wachambuzi wa muziki? na wengine kujipa vyeo kabisa utasikia mtu anajiita yeye ni rais wa wachambuzi wa muziki wa dansi.
Kwanini kwako wachambuzi wa hovyo ni wamuziki wa dansi tu ambao kimsingi wapo wachache mmno kuliko wachambuzi aka presenter wanaochambua bongo fleva?

Mkuu kila mtu anakipawa chake kwenye kuchambua hivyo anakua na engle yake anayoitumia zaidi

Muziki wa dansi umebeba historia na visa vingi sana vya wahenga ambavyo vinawakumbusha mbali sana.... ukitaka kujua hilo msikilize mzee wa kula chuma hiko Radio one akiwa anapigiana simu au sms na wahenga wenzake kila jmatatu hadi Alhamisi usiku saa 4 jinsi jamaa wanavyokumbusha enzi hizo na visa kumbi nk

Ukitaka uchambuzi wa kina kuhusu muziki wenyewe kama muziki basi msikilize Masoud masoud...... jamaa ni narrator mzuri sana na vipindi vyake ni makala tosha kabisa, utapata kila kitu
 
Kwanini kwako wachambuzi wa hovyo ni wamuziki wa dansi tu ambao kimsingi wapo wachache mmno kuliko wachambuzi aka presenter wanaochambua bongo fleva?

Mkuu kila mtu anakipawa chake kwenye kuchambua hivyo anakua na engle yake anayoitumia zaidi

Muziki wa dansi umebeba historia na visa vingi sana vya wahenga ambavyo vinawakumbusha mbali sana.... ukitaka kujua hilo msikilize mzee wa kula chuma hiko Radio one akiwa anapigiana simu au sms na wahenga wenzake kila jmatatu hadi Alhamisi usiku saa 4 jinsi jamaa wanavyokumbusha enzi hizo na visa kumbi nk

Ukitaka uchambuzi wa kina kuhusu muziki wenyewe kama muziki basi msikilize Masoud masoud...... jamaa ni narrator mzuri sana na vipindi vyake ni makala tosha kabisa, utapata kila kitu
"Nikukaribishaye ni manju wa mziki, Masoud Masoud"

Ndiyo, yule Mzee ni manju kweli
 
Kwanini kwako wachambuzi wa hovyo ni wamuziki wa dansi tu ambao kimsingi wapo wachache mmno kuliko wachambuzi aka presenter wanaochambua bongo fleva?

Mkuu kila mtu anakipawa chake kwenye kuchambua hivyo anakua na engle yake anayoitumia zaidi

Muziki wa dansi umebeba historia na visa vingi sana vya wahenga ambavyo vinawakumbusha mbali sana.... ukitaka kujua hilo msikilize mzee wa kula chuma hiko Radio one akiwa anapigiana simu au sms na wahenga wenzake kila jmatatu hadi Alhamisi usiku saa 4 jinsi jamaa wanavyokumbusha enzi hizo na visa kumbi nk

Ukitaka uchambuzi wa kina kuhusu muziki wenyewe kama muziki basi msikilize Masoud masoud...... jamaa ni narrator mzuri sana na vipindi vyake ni makala tosha kabisa, utapata kila kitu
Sijaelewa ulichokusudia kusema kwahiyo niseme tu naheshimu maoni yako.
 
Back
Top Bottom