Wewe unaewaangalia wanakukera ndo tatizo wala si wao.ni kama mtu akupangie soma post usicomment ama like.maisha ni yao hawajakuomba bundle wala smart phone.wanahustle zao na kujidai kivyao.wewe na wanaowakera fanyieni kazi maisha yenu .kila mtu ana uhuru wa kufanya yake ilimradi hamkosei Mungu na mamlaka ya duniani.na kwa Mungu yeye ndo ataamua kama kakosewa.take a chill pill