Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajuaje kama mtu anazururaUsizurure mtaani mkuu
Kuzurura maana yake nini?Acha uzurulaji. Ukidakwa miezi mitatu jera au faini elfu 50
Mpaka waje wakuache utakuwa ushakomeshwaMimi wakinikamatq nazurura mahakamni nitasema nilikuwa naenda kutafuta kazi ya kuokota makopo
inatakiwa utembee hatua ngapi zikizidi izo ndio utakua mzululaji?Acha uzurulaji. Ukidakwa miezi mitatu jera au faini elfu 50
Miongoni mwa visheria vya kipumbavu ni hicho na adhabu yake ni miezi sita au fain 50000Kitaa unakuta Askari kafunga watu kama 20 hivi mashati wanapelekwa kituo cha polisi. Kosa Ni UZEMBE na UZURURAJI daah.
**Mahakamani Mzembe na Mzururaji ushahidi wa kumtia mtu hatiani huwa ni nini?
Nimewahi kukamatwa kanda ya ziwa kule mchana kweupe kisa eti kosa la uzururaji.Uzururaji huo ni Mchana au wa usiku
Aisee noma sana mkuuNimewahi kukamatwa kanda ya ziwa kule mchana kweupe kisa eti kosa la uzururaji.
Nipe tafsiri ya kuzururaUsizurure mtaani mkuu