Ni sahihi kulipa service charge wakati wa mgawo?

bnhai

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2009
Posts
2,832
Reaction score
2,390
Tumekuwa na kipindi cha mgawo wa umeme mara kadhaa sasa. Wakati ni kweli kuwa service charge ni fixed, je kisheria ni sahihi kuchangia kitu ambacho huduma zake hazieleweki kwa neno la service charges?
 
Sio haki, na kukwepa dhuluma hii, zalisha umeme wako. Kuna njia mbali mbali kama kutumia Solar, umeme wa biogas na hata kuwasha ka genereta kako...
 
Inabidi tumpe taarifa Millard Ayo, atusaidie kuifikisha mahala. Tena TANESCO walitakiwa walipe fidia
 
Ni kwamba umeme uwepo au usiwepo,na utumie au usitumie service charge iko pale pale,,na hii ni dhuluma kubwa sn.
 
Ni dhuluma tu.

Hapana sio dhuruma.Service charge ni lazima hata kama umeme ni wa mgao kwa menejimenti ya mgao nayo ni huduma ILA token hautalipia mpaka umeme uwe unawaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…