Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Fanya yako achana na yasiyokuhusu hao ni watu wazimaHivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
Acha vurugu binti umenikuta na dada yako jua mi shemu wako namba mbili.Hivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
Daaah! Hii ilimtokea mchizi wangu mmoja kule Iringa, aliitwa na shemeji yake amuone dadayake anavyochepuka tena kwenye choo cha bar, mchizi alitoka mbio akimuacha mume wa dadayake asijue la kufanyaHivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
Kwa mimi wa kiume ntapita kama sijaona kitu ila wewe wakike mwenzie mchane tuHivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
Dada yako anagongwa na wewe unatumia nn? Au inakuhusu vipi hiyo?Hivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
Uko eneo la fumanizi? Agiza mirinda nyeusi na fanta orange nakuja hapoHivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
Ugoni anafumania mke au mume na si vinginevyo, wewe ni informer tu.Hivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
Ndo muhusika Nini?, maana sio kwa povu hilo.Ugoni anafumania mke au mume na si vinginevyo, wewe ni informer tu.
By the way hata wewe unaweza kuliwa na mume wa dada yako fresh tu, punguza wivu na roho mbaya.
Cha msingi wewe ni mchawi kamili kasoro vitendea kazi tu ndio huna.
Povu la nini sasa? Au na wewe ndio wale wanakwenda kumfumania shemeji?Ndo muhusika Nini?, maana sio kwa povu hilo.
Hivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
Hivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
Ndio mkamate,lakini mseme sana ila mstiri aibu yakeHivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
unamtaka mumewe?Hivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mme wake unaweza kumkamata ugoni?
Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.