Ni sahihi kutumia neno COPYRIGHT kufananisha vitu viwili?

Ni sahihi kutumia neno COPYRIGHT kufananisha vitu viwili?

SubTopic

Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
95
Reaction score
175
Unakuta mtu anasema:" yani huyu mtoto kafanana na baba yake COPYRIGHT!" Hivi ni sahihi kweli kutumia neno hili kufananisha watu/vitu?

Ukisoma maana yake ni tofauti na jinsi neno linavyotumika. Tusaidiane hapo je ni sahihi kutumia neno hili ama sivyo? kama sivyo tutumie neno lipi?

Asante
 
Sio sahihi kwa maana copyright halina uhusiano na kitu kufanana

Maneno kama resemble au look like kwangu yanaweza kutumika kueleza hiki kinachosemwa hapa
 
Unakuta mtu anasema:" yani huyu mtoto kafanana na baba yake COPYRIGHT!" Hivi ni sahihi kweli kutumia neno hili kufananisha watu/vitu? ukisoma maana yake ni tofauti na jinsi neno linavyotumika. Tusaidiane hapo je ni sahihi kutumia neno hili ama sivyo? kama sivyo tutumie neno lipi?

Asante
Ni wabongo kunyumbulisha maneno ya kiingereza wasiyojua maana yake

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Sio sahihi, kama ilivyo elezwa hapa juu!

Copyright ni hati miliki na haina husiano na kufananisha vitu. Ni sahihi kutumia carbon copy kufananisha na hapa na nukuu kutoka wiki - "The term "carbon copy" can denote anything that is a near duplicate of an original"
 
Sio sahihi, kama ilivyo elezwa hapa juu!

Copyright ni hati miliki na haina husiano na kufananisha vitu. Ni sahihi kutumia carbon copy kufananisha na hapa na nukuu kutoka wiki - "The term "carbon copy" can denote anything that is a near duplicate of an original"
Sasa kama nafananisha watu yupi ndio anakuwa orijino?
 
Sio sahihi, kama ilivyo elezwa hapa juu!

Copyright ni hati miliki na haina husiano na kufananisha vitu. Ni sahihi kutumia carbon copy kufananisha na hapa na nukuu kutoka wiki - "The term "carbon copy" can denote anything that is a near duplicate of an original"
asante kwa mchango wako mkuu
 
Back
Top Bottom