Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Huyu dada tangu amepata ujauzito wangu, amekuwa ni mtu wa kubagua vyakula; hataki kula mchicha, chainizi, tembele, bamia, nyanya chungu, yaani mboga za kuota shambani hataki.
Yeye anataka kitimoto, nyama ya mbuzi, kuku, samaki sato; kwa ujumla anataka kula vizuri vizuri tu, mbaya zaidi anataka ambavyo vimepikwa tayari, yeye hayuko tayari kuingia jikoni.
Amenipigia simu mara kadhaa, sipokei na amenitumia ujumbe sijajibu; naona anataka anifanye mimi mtumwa sasa.
Badala ale mboga za majani apate afya, yeye hataki; anataka kunikomoa.
Sasa wakuu, ni sahihi kwa mama mjamzito kubagua vyakula?
Yeye anataka kitimoto, nyama ya mbuzi, kuku, samaki sato; kwa ujumla anataka kula vizuri vizuri tu, mbaya zaidi anataka ambavyo vimepikwa tayari, yeye hayuko tayari kuingia jikoni.
Amenipigia simu mara kadhaa, sipokei na amenitumia ujumbe sijajibu; naona anataka anifanye mimi mtumwa sasa.
Badala ale mboga za majani apate afya, yeye hataki; anataka kunikomoa.
Sasa wakuu, ni sahihi kwa mama mjamzito kubagua vyakula?