ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hata zikiwa na mba ndio keshakuwa baby tenaπNdiyo mapenz hayo sasa kikubwa zisiwe na mbaπ
π€£π€£π€£Hapana kwa kweliHata zikiwa na mba ndio keshakuwa baby tenaπ
Mapenzi uchafu, walisikika wahenga wakinena.π€£π€£π€£Hapana kwa kweli
Okee okeeπ€Mapenzi uchafu, walisikika wahenga wakinena.
Usipomfumua wewe utasaidiwa majukumu . Wewe endelea kuwa busyπNyinyi wajomba na mashangazi mliopo humu ndani naombeni mitizamo yenu kwenye hii ishu..mke akiwa anataka kufumua rasta zake zinazomuwasha utamfumua kama akikuomba?
Kwamba Bill gates kwa Belinda yalikosekana maokoto?Namna unavyojiweka ndivyo watu wanavyokuchukulia,
Mimi nitakuwa tofauti kidogo siwezi,sitaweza na haiwezekani,
Huo ni ujinga najua wengi mtasema ni mapenzi lakini ni udhaifu mkubwa kwa mwanaume.
Kuna njia nyingi za kuonesha mapenzi kwa mpenzi au mke na siyo ujinga mwingine.
Hata hao wanaonyoana sehemu za siri ni wapumbavu na wasioheshimiana.
Mkeo hapaswi hata kuiona nyeti yako,hata wewe hupaswi kuona sehemu zake sa siri.
Yapo mambo ya kijinga mengi yanaendelea watu wakidhani ni mapenzi e.g kinyonyana nyeti zao hii siyo nzuri kiafya na wanaofanya hivyo wasidhani ni kuzidisha utundu ama nini ni kujidhalilisha tu.
Kuna vitu vinatia kinyaa na ni kinyume na maadili .
Mwanaume anapendwa,anaheshimiwa,anaogopwa,anasikilizwa,anapewa nafasi akiwa na PESA,PESA,PESA siyo vitu vya ajabu.
Mada imezungumzia mapenzi kutoka kwa ME kwenda KEKwamba Bill gates kwa Belinda yalikosekana maokoto?
Hayana formula
[emoji109][emoji109]Namna unavyojiweka ndivyo watu wanavyokuchukulia,
Mimi nitakuwa tofauti kidogo siwezi,sitaweza na haiwezekani,
Huo ni ujinga najua wengi mtasema ni mapenzi lakini ni udhaifu mkubwa kwa mwanaume.
Kuna njia nyingi za kuonesha mapenzi kwa mpenzi au mke na siyo ujinga mwingine.
Hata hao wanaonyoana sehemu za siri ni wapumbavu na wasioheshimiana.
Mkeo hapaswi hata kuiona nyeti yako,hata wewe hupaswi kuona sehemu zake sa siri.
Yapo mambo ya kijinga mengi yanaendelea watu wakidhani ni mapenzi e.g kinyonyana nyeti zao hii siyo nzuri kiafya na wanaofanya hivyo wasidhani ni kuzidisha utundu ama nini ni kujidhalilisha tu.
Kuna vitu vinatia kinyaa na ni kinyume na maadili .
Mwanaume anapendwa,anaheshimiwa,anaogopwa,anasikilizwa,anapewa nafasi akiwa na PESA,PESA,PESA siyo vitu vya ajabu.
MASKINI VITOTO VYA 2000Nyinyi wajomba na mashangazi mliopo humu ndani naombeni mitizamo yenu kwenye hii ishu..mke akiwa anataka kufumua rasta zake zinazomuwasha utamfumua kama akikuomba?