Leo nimeshuhudia OCD wa WIlaya ya Hai akisindikiza Mitihani kuelekea Moshi na kingora, Wapo wa chini yake kama OCS, OCCID ha hawa wasaidizi wake wote wana wasaidizi wao wenye nyota 1 hadi 2 pia, sasa inakuwaje. huyu ndio yule aliye mkarpia Mbowe na kumwambia hata shinda hata iweje.
Huyu na hiki cheo je anaijua mipaka yake ya kazi? je anajua power of delegation?
EH MUNGU IBARIKI TANZANIA
Huyu na hiki cheo je anaijua mipaka yake ya kazi? je anajua power of delegation?
EH MUNGU IBARIKI TANZANIA