Ni sahihi mahakama kutoza gharama za kusaini nyaraka za HESLB?

hahaha.. Ni bora uwape hiyo 5000 au 10,000 tu ujue moja..

Kuliko kupigwa kalenda(njoo kesho, njoo keshokutwa) mwisho wa siku hizo gharama za nauli zitazidi hata hiyo 5000..

vp ndugu na ww ni muhanga nn?
 
dah namkumbuka yule hakimu wa mahakama ya hakimu mkazi moshi, alikua anakwambia tu kijana elfu tatu unayo,,,?? Hapo ni ndio mama tu sikutaka shida jamen!
 
dah namkumbuka yule jaji wa mahakama ya hakimu mkazi moshi, alikua anakwambia tu kijana elfu tatu unayo,,,?? Hapo ni ndio mama tu sikutaka shida jamen!


Hahaha alikuuliza before haja sign au after kesha sign ndo akakuuliza
 
Hahaha alikuuliza before haja sign au after kesha sign ndo akakuuliza

yani apo wala hajaigusu yuko zake busy na makaratasi yake uku anasikiliza muziki yani mi nikampa chake maana njia nimoja tu namimi ntakuja kuzila ivovo
 
dah namkumbuka yule jaji wa mahakama ya hakimu mkazi moshi, alikua anakwambia tu kijana elfu tatu unayo,,,?? Hapo ni ndio mama tu sikutaka shida jamen!
kwi kwi kiwi kwi, jaji wa mahakama gani????
yani we ndio tutusa sijawahi ona. mkiwa mnaambiwa kutembelea mahakama mjue jinsi zilivyo na muundo wake mnaona ni bora kukesha kwanye vigodoro na kushinda kwenye vijiwe vya kahawa. na naomba kuuliza hivi somo la uraia bado lipo au walilihujumu kama reli ya....!?
 

sifahamu chochote civics o level nilipata b nadhani kwa sababu sijui legal issues ningepata a...gs nna b plain bado sifahamu ila yote tisa nimechagua llb dsm,bale udsm , llb mzumbe na nimekubaliwa first round ushamba wangu utaishia apo kakaaaa mkubwa! Na vgodoro,kahawa takataka zote bado sana honestly mda mwingi natumia kusoma articles,vitabu na movie za series!
 
Nyie watoto mjiulize kwanza kwa nini mnagonga muhuri! kwa kuelimishana wakili au hakimu ni mawakala wa viapo, na ni sahihi kabisa kutozwa hela , kwa mahakamani ni fixed nadhani ni km 500 (when i did it) kwa nakala 1 na unapewa Govt receipt, kwa wakili ni soko huria hata laki 1 inawezekana ww unafikiri ukiingia mfano Mkono Advocates upigwe kiyoyozi na maji unywe na sofa ukalie ulipe buku1? thubutu! tatizo hamuulizi mnafuata mkumbo tu, dai receipt kwa kila malipo hautaibiwi wala kutoa rushwa kamwe!
 

nashindwa kuelewa yani muhuri ni kwasecretary then signature ni kwa hakimu juu ghorofani sasa sijui wanagawana au,,
 
Pia achana na seriuos soma vitabu, series movie zitakubrain wash tu,
ulichokikosa kwenye URAIA/CIVICS/GS/SIASA utakipata kwenye vitabu, halafu kwa kozi ulizopata usiposoma vitabu, chuo unaenda kukua tu! maisha yatakupiga sana!

 
Pia achana na seriuos soma vitabu, series movie zitakubrain wash tu,
ulichokikosa kwenye URAIA/CIVICS/GS/SIASA utakipata kwenye vitabu, halafu kwa kozi ulizopata usiposoma vitabu, chuo unaenda kukua tu! maisha yatakupiga sana!

amina kaka!
 
Muhuri unakaa ofisini, mara nyingi hakimu yuko "Chamber" (usijeniuliza chemba ni nini) so Mh atasign then karani ataenda kugonga muhuri baada ya kuona sahihi ya Mh. Hawagani ile unalipa kwa chashier, ss km ww umempa kishikaa (wapo hata mahakamani sio tanesco tu).ndio maana mnaishia kupigia wa "kuchonga" mm nikikuambia uka affirm vyeti/ vyako nitataka na govt receipt iwe attached! hapo lazima ufuate njia halalisi

nashindwa kuelewa yani muhuri ni kwasecretary then signature ni kwa hakimu juu ghorofani sasa sijui wanagawana au,,
 
mkuu tuwekane sawa tu kuna baadhi ya vitu haviitaji B+ wala misonge zaidi ya ubora wa chimbuko la elimu yako msingi. hivi leo kujua Meli inaongowa na NAHODHA, au Ndege ina endeshwa na rubani bado inahitaji B+ au "karai"?
Ndio maana nikahamaki kusikia aliyekuhudumia ni Jaji wa Mahakama ya Hakimu Mkazi...!!!!
Majaji mara nyingi kutokana na ufahamu na uelewa wangu finyu nilionao mapaka sasa ni watu wenye wadhifa wa kuongoza kuanzia Mahakama kuu na kuendelea juu na sio mahakama za chini.
Mwisho hongera sana kwa ufahulu wako na nakutakia mafanikio mema katika llb yako.
 

amina!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…