Uchaguzi 2020 Ni sahihi Mgombea kuendelea kuzindua miradi wakati wa kampeni?

Uchaguzi 2020 Ni sahihi Mgombea kuendelea kuzindua miradi wakati wa kampeni?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu kufanya shughuli za serikali wakati wa kampeni? Je, sheria inakubali au hakuna mwenye uthubutu kukemea?

Sheria inasemaje kuhusu ahadi ya ajira? Hii siyo rushwa ya UCHAGUZI? Tunavyofahamu ajira nimchakato wa kiutumishi na lazima ziwe kwenye bajeti iliyopitishwa na Bunge, je kabla Bunge alijapitisha bajeti unaahidi vipi ajira kwa wapiga kura?
 
Sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu kufanya shughuli za serikali wakati wa kampeni? Je, sheria inakubali au hakuna mwenye uthubutu kukemea?

Sheria inasemaje kuhusu ahadi ya ajira? Hii siyo rushwa ya UCHAGUZI? Tunavyofahamu ajira nimchakato wa kiutumishi na lazima ziwe kwenye bajeti iliyopitishwa na Bunge, je kabla Bunge alijapitisha bajeti unaahidi vipi ajira kwa wapiga kura?
Sheria zote amezibaka but mwache azindue maana ni kitu anachokipenda baada ya 28/10 hatakuwa na hiyo title ya uzinduzi tena
 
Sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu kufanya shughuli za serikali wakati wa kampeni? Je, sheria inakubali au hakuna mwenye uthubutu kukemea?

Sheria inasemaje kuhusu ahadi ya ajira? Hii siyo rushwa ya UCHAGUZI? Tunavyofahamu ajira nimchakato wa kiutumishi na lazima ziwe kwenye bajeti iliyopitishwa na Bunge, je kabla Bunge alijapitisha bajeti unaahidi vipi ajira kwa wapiga kura?
CCM wapo juu ya sheria
 
Reli aliyojenga mkoloni Final magu kaizindia, Tanzania inasikitisha Sana sijui inchi nyingine wanatuchuliwa mabogas kiasi gani.
Hiyo hiyo reli ilishindwa kutumika kwa miaka Zaid ya 20 Ila chini ya uongozi wa Rais Magufuli imeanza kutumika kwahiyo yupo sahihi.
 
Hiyo hiyo reli ilishindwa kutumika kwa miaka Zaid ya 20 Ila chini ya uongozi wa Rais Magufuli imeanza kutumika kwahiyo yupo sahihi.
kumbe kwa miaka hiyo 20 Chadema ndio iliyokuwa madarakani.!?

zidumu fikra sahihi za mwenyekiti
 
Sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu kufanya shughuli za serikali wakati wa kampeni? Je, sheria inakubali au hakuna mwenye uthubutu kukemea?

Sheria inasemaje kuhusu ahadi ya ajira? Hii siyo rushwa ya UCHAGUZI? Tunavyofahamu ajira nimchakato wa kiutumishi na lazima ziwe kwenye bajeti iliyopitishwa na Bunge, je kabla Bunge alijapitisha bajeti unaahidi vipi ajira kwa wapiga kura?
enheee tuliaa tuliaaa eeeh ,acha sindano iingiee vizuriii eeenhee,,safiiii

Tutaelewana tu mwaka huu

#lengo kuhakikisha wana ubelgiji wanarudi mikono mitupuu
 
Back
Top Bottom