but 4m ya TSD inaeleza kwmb,mwalimu hatakuwepo shuleni endapo:
1.mgonjwa
2.kwenda kuuguza
3.kuomba ruhusa kwa 7b yyte ile ya msingi na
4.endapo hakuna shughuli zozote zinazoendelea ktk shule hyo
qns.je, km hakuna shughuli zinazoendlea iweje nibakie shuleni hpo wakati mwongozo upo bayana?