Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

Hii ilikuwepo hata enzi za Mwalimu Nyerere ikaja kupotea enzi za "Rukhsa" na Ben, Kikwete mwenyewe alikuwa hamaindi sana kusifiwa sifiwa.

Nadhani ni Nyerere Mwendazake na huyu Bibie.
Huyu bibie ni too much
 
Kwanza namshukuru Rais Dr. SSH kwa kuruhusu JF iwepo.

Huu uchawa wa kusifia Rais kiboya umeanza enzi za Jiwe sasa ni muendelezo tu. Yeye alihodhi mamlaka yote na kudissolve mamlaka zingine zote. Rais wa sasa dkt. SSH nae anapenda hizi sifa hafanyi lolote kutokomeza huu uchawa.
 
Kama Taifa tuna hatari kubwa
 
Tabia za kusifiwa sifiwa ni tabia za Madikteta na Wafalme Absolute Monarchs kama kule Mashariki ya Kati.
 

Kama uwezo wako ni mdogo na utendaji wako ni mbovu unadhani utafanya nini ili kuendelea kubaki kwenye nafasi yako kama sio kumsifia Rais hata mkeo akikupikia chakula kitamu?
 
Huko bungeni Sasa.
Shule imejenga matundu mawili ya vyoo kwa gharama ya milioni Mia tano lkn utasikia MTU akisema, tunamshukuru Fulani kwa kutuletea hela na sisi si Haba tumefanya ubadhirifu wa kutosha.
Kidumu chama Cha majizi.
 
Huko bungeni Sasa.
Shule imejenga matundu mawili ya vyoo kwa gharama ya milioni Mia tano lkn utasikia MTU akisema, tunamshukuru Fulani kwa kutuletea hela na sisi si Haba tumefanya ubadhirifu wa kutosha.
Kidumu chama Cha majizi.
Bungeni ndio kisanga
 
Inategemea uwezo wa kiakili alionao huyo Rais, kama ni rais mpumbavu na mjinga mjinga anaweza akawa sehemu ya kutengeneza mazingira ya kutaka kusifiwa na kila mtu au kutajwa tajwa kila mahali kila mara.
 
Inategemea uwezo wa kiakili alionao huyo Rais, kama ni rais mpumbavu na mjinga mjinga anaweza akawa sehemu ya kutengeneza mazingira ya kutaka kusifiwa na kila mtu au kutajwa tajwa kila mahali kila mara.
Marais husifiwa ila kwa mama imekuwa too much
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…