Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

Ujinga huo aliuanzisha magufuli na machawa wake sasa yeye kaenda machawa wake wanaendeleza ujinga ule
 
Ni utamaduni wa hovyo sana ulioibuka kuanzia awamu ya 5
 
Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui

Rais sultani mfalme nusu Mungu aliye na uwepo popote zaidi ya zile picha za rais aliyepo madarakani kutundikwa kila ofisi ya umma na serikali, sasa wamekwenda mbali kuwa yupo kila sehemu na mahala pote mithili ya Mungu ... kama katiba ya nchi ya sasa ilivyompa mamlaka makubwa ya kuwa dikteta ikiwa ana utashi au machawa wakilazimisha unusu Mungu ambao pengine rais mwenyewe haafiki.
 
Kwanza kabisa napenda kutoa shukurani zangu za dhati kabisa kwa muheshimiwa Rais kwa kutoa fedha nyingi katika sekta ya afya hususani mochwari, hii inaniwezesha kucomment hapa bila wasi wasi kwani najua tukifa tutahifadhiwa pazuri

Baada ya kusema hayo nitoe pia shukurani kwa serikali ya awamu ya sita kwa kuruhusu mleta mada kutoa maoni yako kwani huko nyuma hatukua hivo
 
Kuitwa Cote de vore alimshukuru kwanza mama
Huyo alikwenda na mkumbo tu !!
Lakini mbona huwa nasikia watu wanasema eti Siasa ni uongo uongo unaofanana na ukweli??!
Kama ni hivyo basi ni sawa tu πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
 
NCHI HII WAJINGA WAMEONGEZEKA SANA
 
Kwanza kabisa ningependa kumshukuru mweshimiwa, mAma anaupiga mwingi,

Baadhi yetu wa Bongo ni vilaza yaani vilazaa na vilaza tena yaani atujielewi yaani tutamshukulu mpaka 2035.
Loading..........
 
Hata mimi namsifu nimepata watoto mapacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…