sakuli kandi tz
New Member
- Jan 14, 2025
- 3
- 2
Habari za leo, kuna jambo linanitatiza sana. Kuna shule ya Msingi huko Mkoani Ruvuma wilaya ya Mbinga wanachangisha michango ya ujenzi wa jengo la shule kwa kaya moja (1)inatakiwa watoe kiasi cha 30,000.Hii imekaaje