kwa mtizamo wangu sio sahihi. kitendo cha wabunge kununuliwa mashangingi na kilipwa hela kubwa wanaonyesha dhahiri ni jinsi gani walivyo after money. hata wale wapinzani tunaowaamini na wenyewe wapo kimaslai yao zaid coz kama waliweza kutoka nje kutokusikiliza hotuba ya rais kwa nn wasingeshinikiza kupunguzwa kwa fedha anazolipwa mbunge(allowance) na wakikataliwa watoke nje ili angalau watanzania tujue wamejitahid ila imeshindikana kama walivyofanya kwa rais