Mathematician
JF-Expert Member
- Nov 8, 2009
- 327
- 109
Habarini great thinkers,
Ninahitaji line tajwa lakini kama mjuavyo urasimu uliopo kwenye mchakato mzima wa kuzipata kutoka kwenye makampuni ya simu nimefikiria kuzinunua kwa mtu aliyetumia na sasa ameamua kuziuza. Je ni salama kufanya hivi na ni zipi athari zake.
Natanguliza shukrani....
Ninahitaji line tajwa lakini kama mjuavyo urasimu uliopo kwenye mchakato mzima wa kuzipata kutoka kwenye makampuni ya simu nimefikiria kuzinunua kwa mtu aliyetumia na sasa ameamua kuziuza. Je ni salama kufanya hivi na ni zipi athari zake.
Natanguliza shukrani....