Erick Kalemela
R I P
- Nov 19, 2017
- 815
- 1,023
Anaitwa jayNa ana miaka 22, ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri
Umepatia,mkuu
Forodhani ile ilikua na watoto balaa,
Jack babu,Muna,Maya ,Sharon, zainabu,asee
Alikuwa Pauline Zongu,sijui kwa sasa atakuwa wapi huyu mtoto...??Hatari sana
Nagris tulisoma naye chuo. Nilikuwa nampenda sana huyu dada ila sasa kwa bumu la sh 2,500 kwa siku ningemuanza veepe!Kwa nini umesema mtoto Wa kishua? Ni Wa kawaida tu alikuwa anaishi hapo k.ndoni block 41.baada ya umisi na ku act movie mbili tatu akajiendeleza kielimu akapata kazi benki
Alikuwa Pauline Zongu,sijui kwa sasa atakuwa wapi huyu mtoto...??
Lkn kwenye Shooting alimtumia Nagzri Mohammed kutokana na uzuri wa kuvitia aliokuwa nao.
Kama kumbukumbu zangu zitakuwa sawa,baada ya Pro J kumtumia Nagzri Mohammed kwenye shooting kilileta mtafaruku baina yake na Pauline Zongu,maana sauti ilikuwa na Pauline Zongu lkn shooting anaonekana Nagzri Mohammed.
Ni hayo kama kumbukumbu zangu zitakuwa sawa.
Mkuu ndio maana nikasema kama kumbukumbu zangu zitakuwa vizuri..!!!haahahaha!!Nimecheka kwa Sauti!Ila ukweli ni kwamba hakuwa Polline
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ila ni kweli.Ama kweli Tanzania haina historia ila ukitaka stori zipo
Mkuu ndio maana nikasema kama kumbukumbu zangu zitakuwa vizuri..!!!
Kuliko kucheka kwa sauti kama boya ni bora ukaja na jibu maana humu tupo kukumbushana sio kucheka kama kiboya...,
Don't tote no 22, Magnum cost me 22,Sat it on them 22, birds go for 22,Lil' mama super thick, she say she 22,She seen them 22, we in room two 22.Na ana miaka 22, ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri
Sija panic brother..,Kukosea kwako ndio unapanic!Usimind Brother
Hustling....... @richforeverDon't tote no 22, Magnum cost me 22,Sat it on them 22, birds go for 22,Lil' mama super thick, she say she 22,She seen them 22, we in room two 22.
Oh naitwa Jay ukiniita fukara haukosei na nnaishi kwa kwa nguvu ya...., siku zenyewe hazisogeiNa ana miaka 22, ni mtoto wa kipekee kwenye familia ya kitajiri
Alishuka garini na kusema jay nakupenda,Oh naitwa Jay ukiniita fukara haukosei na nnaishi kwa kwa nguvu ya...., siku zenyewe hazisogei