Ni sawa au tatizo?

Redrose20

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
213
Reaction score
35
Wana jf habar zenu natumai mmeamka salama,

Jaman me nilianza period tarehe1 mwezi huu nikaenda siku 4 around tarehe13,15 na 16 i had sex tarehe17 nikameza dawa za malaria.

Sasa jana trh 20 ghafla nikaanza period,nimestuka sana kwasababu haijawahi nitokea katikati ya tarehe kama hivyo.

Tafadhali naombeni msaada wenu, na je kwa tarehe hiyo ovulation itakuwa kuanzia tarehe ngap?

Nina tatizo au sawa?
 
You were pregnant because ukuta wa mimba unaanza kujijenga upya siku 14 ukijumuisha na 4 days za period(yaani 1,2,3,4 then bleed itaacha but within then next days up to 14 day hapo ni ovulation period ambapo yai litaanza kutengenezwa na kukaa kwa masaa 36 and then ukakutana na mwanaume so fertilization was taken place ...na malaria drugs in first trimester( miezi 3 ya mwanzo ) inaleta distance na kupelekea kiumbe kutoka .


.
 

asante mkuu nimekuelewa.
 
well said dr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…