yegomwamba
Member
- Dec 31, 2009
- 92
- 1
We annina wewe
umenichekesha sana,
eti uzee unaanzia chalinze.....ha ha ha ha.....[/QUOTE]..Yaani hii hata mimi imeniacha hoi kabisa uzee unaanzia chalinze kwenda wapi sasa Morogoro au Tanga??.
Masaki hii hapa nimeshindwa vumilia yaani kwangu hii ni welcome 2010! duh eti daddy am goin'Kuna watu wana majibu ya mkato kiasi kwamba hutakaa umuulize tena! The bottom line is Tanzania is a dying nation! Kuanzia kwenye uongozi wa nchi mpaka kwenye mmomonyoko wa maadili kwenye jamii tunazoishi! Yaani imefika mahali ambapo kuna vitu vinaonekana vya kawaida wakati viko kinyume na maadili.
Mashoga siku hizi eti wameanza kuonekana ni watu wa kawaida katika jamii, hawajifichi tena. Vibinti vya sekondari siku hizi wala havina ''boyfriends'' wanaosoma nao, wana wakaka na wababa wanaofanya kazi na wenye kipato. Wanafunzi wenzao wanawaita ''daddy I am goin''.....!!!
Niishie hapo kwa sasa!
Tamaa ndio zinawaponza mabinti kutaka hiki na kile ambavyo sio vya muhimu ktk maisha lkn napo kama hawa mababa wasipo wafuata sio rahisi wao kujiingiza mi naona watu wazima ndio wenye matatizo au waaribifuUsiwalaumu sana wazee, vibinti vya siku hizi vina tabia za ajabu sana! Na hizi simu za mkononi ndio kabisaaa!
Kuna siku simu yangu iliishiwa chaji na umeme ulikuwa umekatika, nikaomba ''handset'' ya mtoto wa kike wa anko wangu aliyekuwa kaja kunitembelea pale kwangu. Akanipa, nikaweka laini yangu lakini meseji na namba nyingi za simu zilibaki kwenye ile ''handset''. Niliyoyaona humo nilitetemeka !! Mtoto ana umri mdogo lakini mambo yake ni makubwa kuliko hata mimi mwenyewe!!!
We annina wewe
umenichekesha sana,
eti uzee unaanzia chalinze.....ha ha ha ha.....[/QUOTE]..Yaani hii hata mimi imeniacha hoi kabisa uzee unaanzia chalinze kwenda wapi sasa Morogoro au Tanga??.
Laligeni, hata mimi nilikuwa hoi, nadhani alimaanisha kutoka Chalinze kwenda mikoani ndio kuna uzee!
Annina