Ni sawa kukemea uzee kwa njia hii???

madingi wa siku ni mafaki..
kina mama sijui tuwaiteje, labda mabomu


Nadhani hapo Bujibuji ulimaanisha "siku hizi' ni 'mafataki'.
 
We annina wewe

umenichekesha sana,
eti uzee unaanzia chalinze.....ha ha ha ha.....[/
QUOTE]..Yaani hii hata mimi imeniacha hoi kabisa uzee unaanzia chalinze kwenda wapi sasa Morogoro au Tanga??.
 
Iliwahi tokea long back in 2007 , mitaa fulani ya Sinza nilikuwa nasubiri Mnyama huku nikipata ulabu taratibu , ghafla nikaona Binti mmoja Mrembo kweli akaingia akawa anakunywa wine nina hakika ni under 20 yule , akawa busy na simu basi nikajua du si rizki jamaa yake (kijana mwenzake anakuja) toba baada ya muda aliingia Mzee ,yaani mtu mzima kweli cha ajabu alipofika tu akaanza kujisifu , " Eti wife alikuwa ananibanabana nisitoke sasa nimetime nikatoroka na simu nimeacha nyumbani kitandani akipiga atasikia inaita ndani kwahiyo leo hatatusumbua mpaka nirudi mwenywe " kweli nilichoka that day na kabinti hakakuwa na aibu hata kidogo "FEDHA" acha kabisa!
 
Masaki hii hapa nimeshindwa vumilia yaani kwangu hii ni welcome 2010! duh eti daddy am goin'
 
Tamaa ndio zinawaponza mabinti kutaka hiki na kile ambavyo sio vya muhimu ktk maisha lkn napo kama hawa mababa wasipo wafuata sio rahisi wao kujiingiza mi naona watu wazima ndio wenye matatizo au waaribifu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…