Ni sawa kwa FIFA na UEFA kujiingiza kwenye mzozo wa Russia na Ukraine?

Ni sawa kwa FIFA na UEFA kujiingiza kwenye mzozo wa Russia na Ukraine?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
FIFA na UEFA wamepiga ban vilabu na timu ya taifa ya Urusi kushiriki mashindano yao. Je, hatua kama hii ni sahihi kwa chombo cha kimataifa kinachohubiri neutrality kama FIFA? Mbona hawakuiban Uingereza, Ufaransa, Marekani nk walipokuwa wakivamia nchi ya Libya na zile za mashariki ya kati?
 
FIFA na UEFA wamepiga ban vilabu na timu ya taifa ya Urusi kushiriki mashindano yao. Je, hatua kama hii ni sahihi kwa chombo cha kimataifa kinachohubiri neutrality kama FIFA? Mbona hawakuiban Uingereza, Ufaransa, Marekani nk walipokuwa wakivamia nchi ya Libya na zile za mashariki ya kati?

Kwani wakianza na huyu kuna ubaya gani mjomba?
 
Mimi kwangu ni sahihi kwa sababu lengo juu la michezo ni kuleta umoja na amani. Sasa kama watu wanauwawa kama kuku bila sababu wananyamasaje kwa mfano.
 
Sisi hatujui na hatupendi kufatilia Mambo ya watu.
 
FIFA na UEFA wamepiga ban vilabu na timu ya taifa ya Urusi kushiriki mashindano yao. Je, hatua kama hii ni sahihi kwa chombo cha kimataifa kinachohubiri neutrality kama FIFA? Mbona hawakuiban Uingereza, Ufaransa, Marekani nk walipokuwa wakivamia nchi ya Libya na zile za mashariki ya kati?
Stopping one war is better than none.
 
Mimi kwangu ni sahihi kwa sababu lengo juu la michezo ni kuleta umoja na amani. Sasa kama watu wanauwawa kama kuku bila sababu wananyamasaje kwa mfano.
Mbona serikali ikiingilia maswala ya michezo kwa lengo la kutatua migogoro kwenye mashirikisho ya mpira FIFA wanaifungia hiyo nchi kushiriki maswala ya mpira,kama lengo ni kuleta umoja??
 
FIFA wamepiga sarakasi 🤸 huku wakiwa wamevaa taulo. Wameonekana wazi ni vibaraka wa nchi za Magharibi na Marekani.

Kimsingi walitakiwa kuisimamia misingi yao waliyo jiwekea tangu mwanzo. Kitendo cha kuingia kichwa kichwa kwenye huu mgogoro, ni ushahidi tosha wana double standard.
 
Wangekaa kwanza pembeni kuusoma mchezo ili kuanza kuingilia siasa za watu
 
Back
Top Bottom