Wapendwa ndugu zangu,
Majuzi nilikuwa Dodoma kwa jamaa yangu mmoja, akawa amealikwa kwenye sherehe ya wizara fulani baada ya bajeti yao kupitishwa na bunge. Niliambiwa kulikuwa na waalikwa takribani 300.
Je gharama zote hizo zinabebwa na akina nani. Tuelezana bandugu
Kusherehekea sawa kwa fedha zao... lakini please waache fedha zetu!
Wapendwa ndugu zangu,
Majuzi nilikuwa Dodoma kwa jamaa yangu mmoja, akawa amealikwa kwenye sherehe ya wizara fulani baada ya bajeti yao kupitishwa na bunge. Niliambiwa kulikuwa na waalikwa takribani 300.
Je gharama zote hizo zinabebwa na akina nani. Tuelezana bandugu