NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Maeneo ya kazini huwa kuna madogo wa chuoni hapa nafahamiana nao wakiniletea kazi za viti, vitanda, meza, n.k.
Sasa mwezi uliopita kwenye pirika pirika za vyuo kufungua katika story za hapa na pale kuna madogo walikuwa wanapiga story za ku code, kuna mwenzao alikuwa kamaliza certificate kaingia diploma anawaambia hawajui chochote kuhusu ku code ila wale wenzake wa six wanaoingia degree wanamwambia yeye hajajifunza chemistry ya form six kwa hio kuna vitu hajui.
Mimi nikaingiza maada ndogo tu, nikawauliza wale wa six, mnajua kuandika hello world kwa lugha yoyote, wakadhani labda ni kichina ama kiarabu, mwenzao yule mwengine nae anawapa pressure wajibu ila hawakuweza kujibu.
Nilibaki nashangaa sana inakuwa vipi mtu anaingia degree hawezi kuandika hello world kwa lugha yoyote.
Sisemi kwamba hawawezi kujifinza kwa kuchelewa but come on guys! Mtu hujawai weka effort yoyote japo hata kujua basics za kitu unaenda somea degree 😳 ni kama vile unaenda kujifunza kufua nguo zako sekondari boarding
Sasa mwezi uliopita kwenye pirika pirika za vyuo kufungua katika story za hapa na pale kuna madogo walikuwa wanapiga story za ku code, kuna mwenzao alikuwa kamaliza certificate kaingia diploma anawaambia hawajui chochote kuhusu ku code ila wale wenzake wa six wanaoingia degree wanamwambia yeye hajajifunza chemistry ya form six kwa hio kuna vitu hajui.
Mimi nikaingiza maada ndogo tu, nikawauliza wale wa six, mnajua kuandika hello world kwa lugha yoyote, wakadhani labda ni kichina ama kiarabu, mwenzao yule mwengine nae anawapa pressure wajibu ila hawakuweza kujibu.
Nilibaki nashangaa sana inakuwa vipi mtu anaingia degree hawezi kuandika hello world kwa lugha yoyote.
Sisemi kwamba hawawezi kujifinza kwa kuchelewa but come on guys! Mtu hujawai weka effort yoyote japo hata kujua basics za kitu unaenda somea degree 😳 ni kama vile unaenda kujifunza kufua nguo zako sekondari boarding