Ni sawa mwanaume kumpa mwanaume mwenzake zawadi ya Birthday?

Ni sawa mwanaume kumpa mwanaume mwenzake zawadi ya Birthday?

Mwasapile

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2020
Posts
214
Reaction score
448
Nina rafiki yangu leo kafikisha umri wa miaka 31.

Sasa amenicheki hapa kuwa nimtumie zawadi ya muamala kwajili ya birthday yake: je hili limekaaje wadau wa JF?

Mtu wa aina hii kijana mwenye nguvu muajiriwa kwa mshahara mzuri anataka zawadi ya birthday?

Kuna usalama kweli hapa?
 
Ukiona mwanaume anasherekea party za kikekike kama hizo vunja urafiki huyo sio mwanaume haijarishi ni kiongozi ama mtu wa aina Gani.
 
Mwanaume wa 30+ na birthday wapi na wapi. Ingekua ni uamuzi wako kuna zawadi ukambless nazo mwanao mfano jezi ya timu yake pendwa sio mbaya, zawadi za kike kike mfano kadi iyo sio poa. Lakini kwa mwanaume kukumbushia zawadi ya birthday iyo inaleta ukakasi kidogo.
 
Hivi mnapata wapi nguvu ya kuanzisha nyuzi na swaumu hii...
Jamani kiu hukuuu
 
Back
Top Bottom