Ni sehemu gani Arusha naweza kupata wataalamu wa kuchora nembo kwenye T-Shirts na Bags ??

Ni sehemu gani Arusha naweza kupata wataalamu wa kuchora nembo kwenye T-Shirts na Bags ??

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124
Habari zenu wakuu,
Samahani naulizia ni sehemu gani Arusha ninaweza kupata watu ambao wataniwekea nembo kwenye T-Shirts na Bags.

Nataka kwenye T-Shirts nembo ziwekwe kwa njia ya nyuzi na maneno yatokee vizuri kwenye mfuko wa shati na mgongoni. Kwenye Bags nataka maandishi yachorwe na rangi lakini logo iwekwe kwa nyuzi.

Ahsante.
 
Goliondoi kuna jamaa alikuwaga hiyo mitaa sijui kama badoyupo huyo jamaa ni shida.
 
Bablai sisi tupo apa kijenge jula kwa fasi tuna'print kwa rangi ila sio kwa Nyuzi kama unavyotaka,,Tuna T-Shirts kama zote za Arusha boy na Arusha girl ambazo zisha'printiwa tayari ila hata ukitaka ku'printiwa unavyotaka ni yente aikatai ila ni kwa rangi na sio nyuzi..
 
Bablai sisi tupo apa kijenge jula kwa fasi tuna'print kwa rangi ila sio kwa Nyuzi kama unavyotaka,,Tuna T-Shirts kama zote za Arusha boy na Arusha girl ambazo zisha'printiwa tayari ila hata ukitaka ku'printiwa unavyotaka ni yente aikatai ila ni kwa rangi na sio nyuzi..
Kijenge juu sehemu gani?
 
Bablai sisi tupo apa kijenge jula kwa fasi tuna'print kwa rangi ila sio kwa Nyuzi kama unavyotaka,,Tuna T-Shirts kama zote za Arusha boy na Arusha girl ambazo zisha'printiwa tayari ila hata ukitaka ku'printiwa unavyotaka ni yente aikatai ila ni kwa rangi na sio nyuzi..
Mkuu wa kuchora nshampata labda ntakuja kununua tu T-Shirts ambazo zimechorwa mlima kilimanjaro au wanyama. Last time nilinunua nyingi sana pale karibu na New Arusha Hotel.
 
Back
Top Bottom