Ni sehemu mbili ambazo ndio wanabebana kutotaka katiba mpya au hata demokrasia

Ni sehemu mbili ambazo ndio wanabebana kutotaka katiba mpya au hata demokrasia

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
kitu ambacho nchi nyingi ukiona mmoja kumbeba mwenzake basi ni hizi sehemu mbili ambazo zina lindana kwa sababu zao binafsi.

hizi sehemu mbili zikitenganishwa na kuwa azifungamani kushirikiana basi haya yote tunayo sema sijui katiba mpya na demokrasia yatakuja bila kupingwa.


Nipo uganda ndio nilicho kiona na kueleza haya!
 
kitu ambacho nchi nyingi ukiona mmoja kumbeba mwenzake basi ni hizi sehemu mbili ambazo zina lindana kwa sababu zao binafsi.

hizi sehemu mbili zikitenganishwa na kuwa azifungamani kushirikiana basi haya yote tunayo sema sijui katiba mpya na demokrasia yatakuja bila kupingwa.


Nipo uganda ndio nilicho kiona na kueleza haya!
Hili si jukwaa la kufanyia utoto. Ungekwenda badoo.
 
Back
Top Bottom