Wana jf hope wote mko wazima, nina swali ambalo ninahitaji msaada wenu wana jf wenzangu,
ni sifa zipi mtu anatakiwa awe nazo ili awze kujiunga na chuo chochote cha urubani? manaake wengine wanasema physics, maths na geography, wengine wanasema maths, geography na language, lipi ni lipi hapo? wadau msaada
ni sifa zipi mtu anatakiwa awe nazo ili awze kujiunga na chuo chochote cha urubani? manaake wengine wanasema physics, maths na geography, wengine wanasema maths, geography na language, lipi ni lipi hapo? wadau msaada