Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Nimeona kwenye vyombo vya habari kwamba jana ilikua ni 'siku ya kuzaliwa' ya Mh JK....Hongera Mh.
Nauliza swali ikiwa nilizaliwa siku ya Jumanne na tarehe ya kuzaliwa ikaangukia Jumamosi, hapo itakua bado ni siku niliyozaliwa au tarehe niliyozaliwa?
Nauliza swali ikiwa nilizaliwa siku ya Jumanne na tarehe ya kuzaliwa ikaangukia Jumamosi, hapo itakua bado ni siku niliyozaliwa au tarehe niliyozaliwa?