Ni siku ya tatu Sasa NSSF, mfumo wa kuangalia Salio au taarifa kupitia Simu haufanyi Kazi

Ni siku ya tatu Sasa NSSF, mfumo wa kuangalia Salio au taarifa kupitia Simu haufanyi Kazi

Kaparare

Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
93
Reaction score
234
What is going on hapo NSSF.

Ni siku ya tatu Sasa mfumo wa kuangalia Salio au taarifa kupitia Simu haufanyi Kazi. Kulikoni?

Jana nilikuwa NSSF Ilala(Boma) watu ni wengi wanalalamika wakitaka kujua mbona mfumo wa kuwapa taarifa za akaunti zao unasumbua isivyo kawaida, Cha Ajabu wanajibiwa hovyo Sana.

Waliokuwa kwenye hatua za mwisho kufungua Madai wamesitishwa mpaka wiki ijayo.

Kuna wengine walitaka kujua kwann mpaka Sasa hawajaingiziwa pesa zao licha ya kusubiri kwa zaidi ya Siku 30 nao pia wameambiwa Kuna tatizo la kiufundi.

Nimepata wasiwasi Sana. Ikumbukwe Mifuko ya Hifadhi ya Jamii imekuwa na rekodi ya ubadhirifu kwa siku nyuma Sasa kinachoendelea hapo NSSF sijui nini au mkurugenzi mpya ana install mambo yake.

MTU vs TAASISI
 
What is going on hapo NSSF.

Ni siku ya tatu Sasa mfumo wa kuangalia Salio au taarifa kupitia Simu haufanyi Kazi. Kulikoni?

Jana nilikuwa NSSF Ilala(Boma) watu ni wengi wanalalamika wakitaka kujua mbona mfumo wa kuwapa taarifa za akaunti zao unasumbua isivyo kawaida, Cha Ajabu wanajibiwa hovyo Sana.

Waliokuwa kwenye hatua za mwisho kufungua Madai wamesitishwa mpaka wiki ijayo.

Kuna wengine walitaka kujua kwann mpaka Sasa hawajaingiziwa pesa zao licha ya kusubiri kwa zaidi ya Siku 30 nao pia wameambiwa Kuna tatizo la kiufundi.

Nimepata wasiwasi Sana. Ikumbukwe Mifuko ya Hifadhi ya Jamii imekuwa na rekodi ya ubadhirifu kwa siku nyuma Sasa kinachoendelea hapo NSSF sijui nini au mkurugenzi mpya ana install mambo yake.

MTU vs TAASISI
Hujuma imeanza, mkurugenzi wa IT awajibishwe
 
taasisi za serikali huwa wanamsemo wao mmoja, "system ipo down"!

ukisikia hili, wewe simama endelea na shughuli zako lasivyo utakaanga maini nakisha utahamia kuchoma mahindi!

nashangaa taasisi kubwa hazina kurasa za 'status' za system zao ili jamii kwa ujumla waweze kupata taarifa kwa wakati. basi kwa wale waliopo maofisini mwao, watamke rasmi ili watu waendelee na shughuli zao. ila kuna taasisi zingine huwa wanafurahi wananchi wakijazana maofisini mwao!
 
Hujuma imeanza, mkurugenzi wa IT awajibishwe
ni kweli ila saa zingine unakuta system ipo sawa lakini watendaji wasanii

mimi nimeshawahi mkamata mtu ambaye alisema system ipo down, alafu alivyokuwa pimbi, nyuma yake kulikuwa na kioo cha glasi kinanionyesha anacheza game ya solitaire!

fungeni kamera kwenye madawati ya watoa huduma alafu muone kama hii michezo itakuwepo!
 
What is going on hapo NSSF.

Ni siku ya tatu Sasa mfumo wa kuangalia Salio au taarifa kupitia Simu haufanyi Kazi. Kulikoni?

Jana nilikuwa NSSF Ilala(Boma) watu ni wengi wanalalamika wakitaka kujua mbona mfumo wa kuwapa taarifa za akaunti zao unasumbua isivyo kawaida, Cha Ajabu wanajibiwa hovyo Sana.

Waliokuwa kwenye hatua za mwisho kufungua Madai wamesitishwa mpaka wiki ijayo.

Kuna wengine walitaka kujua kwann mpaka Sasa hawajaingiziwa pesa zao licha ya kusubiri kwa zaidi ya Siku 30 nao pia wameambiwa Kuna tatizo la kiufundi.

Nimepata wasiwasi Sana. Ikumbukwe Mifuko ya Hifadhi ya Jamii imekuwa na rekodi ya ubadhirifu kwa siku nyuma Sasa kinachoendelea hapo NSSF sijui nini au mkurugenzi mpya ana install mambo yake.

MTU vs TAASISI
Delay tactic taasisi haina pesa,
 
Huduma imerudi
What is going on hapo NSSF.

Ni siku ya tatu Sasa mfumo wa kuangalia Salio au taarifa kupitia Simu haufanyi Kazi. Kulikoni?

Jana nilikuwa NSSF Ilala(Boma) watu ni wengi wanalalamika wakitaka kujua mbona mfumo wa kuwapa taarifa za akaunti zao unasumbua isivyo kawaida, Cha Ajabu wanajibiwa hovyo Sana.

Waliokuwa kwenye hatua za mwisho kufungua Madai wamesitishwa mpaka wiki ijayo.

Kuna wengine walitaka kujua kwann mpaka Sasa hawajaingiziwa pesa zao licha ya kusubiri kwa zaidi ya Siku 30 nao pia wameambiwa Kuna tatizo la kiufundi.

Nimepata wasiwasi Sana. Ikumbukwe Mifuko ya Hifadhi ya Jamii imekuwa na rekodi ya ubadhirifu kwa siku nyuma Sasa kinachoendelea hapo NSSF sijui nini au mkurugenzi mpya ana install mambo yake.

MTU vs TAASISI
 
Back
Top Bottom