Soka la bongo ili mwekezaji pamoja na club yenyewe iweze kufanikiwa ni clum mbili tu ambazo ni Simba na Yanga
Mpira ni kuwa na fan base team kama azam haina fan base ndio maana inashindwa kupiga hatua nyingine zaidi ya kimafanikio zaidi ya kuwa na miundombinu pamoja na ihakika wa mishahara
Watu wanasema kwa nini MO kashindwa African Lyon akakimbilia Simba ila ni kwa sababu ya fan base
Mpira ni kuwa na fan base team kama azam haina fan base ndio maana inashindwa kupiga hatua nyingine zaidi ya kimafanikio zaidi ya kuwa na miundombinu pamoja na ihakika wa mishahara
Watu wanasema kwa nini MO kashindwa African Lyon akakimbilia Simba ila ni kwa sababu ya fan base