Ni stahiki zipi unapaswa kupata wakijenga MNARA wa SIMU Katika eneo Lako ?!!.

Mkaruka

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
19,629
Reaction score
34,199
Salaam JF !Naomba kujua stahiki ninazopaswa kupata ili nisiibiwe katika uandishi wa mkataba.Nitashuku sana.BE BLESSED !
 
Masharti yakiwa ya kisheria,amma kivyovyote inavyohusu usimikaji mitambo nitashukuru maana nchi yetu hii udalali mwingi.
 
Masharti yakiwa ya kisheria,amma kivyovyote inavyohusu usimikaji mitambo nitashukuru maana nchi yetu hii udalali mwingi.

Naona watu bado hawajatia timu katika uzi huu,lets keep waiting
 
Mkataba unahitaji consent yako.
Kabla hujadondosha saini make sure umeuelewa vema. Yale ambayo mmekubaliana ndio hayo yaliyoandikwa kwenye mkataba! in case ukahisi tofauti, ni bora kusimamiwa na mwanasheria.
 
Mkataba unahitaji consent yako.
Kabla hujadondosha saini make sure umeuelewa vema. Yale ambayo mmekubaliana ndio hayo yaliyoandikwa kwenye mkataba! in case ukahisi tofauti, ni bora kusimamiwa na mwanasheria.

Nameless, I salute you! unajua kutumia nafasi yako katika jukwaa kwa kuelimishwa jamii sio sawa na wengine walijaliwa kununua Simu nzuri na kusikia kuna jamii forum na kuja huko kwa kuchafua au kujadili utumbo.
kama ulivyomwambia muhusika mkataba unahitaji consent yake kwa kumfafanulia zaidi hakuna kigezo maalum katika zoezi hili proposal inaweza toka kwa mwenye eneo. mjengaji akilikubali mnaingia mkataba hii no saw a umejenga nyumba yako na unatafuta mpangaji hakuna mtu ambaye hukupangia gharama ya pango.
cha kuzingatia katika swala hili no malipo uliyotamka yalipwe kwa misingi IPI na muda gani Basi
kampuni itokeapo kuja jenga mnara kwako Fanya utakavyo sababu wamepima na wameona ile ndio site inayofaa hakuna vinginevyo walime! ugawane nap zile wanazotuibia maana mswahili anasema ; mgonjwa hachagui dawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…