Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Hujajibu swali, dunia kuwa ya zamani kwa hiyo maandiko pia ni ya zamani? Hivyo yasizingatiwe?kijana dunia imebadilika. Dunia ya sasa sio ya zamani na ajenda yao ni moja.
Wee huoni nchi za magharibi huko ulaya na Amerca lifestyle yao? viongozi wa juu kabisa ni wa kike na maisha yanaendelea
Na TZ na Africa ndipo tunapoelekea huko sasahivi. Karibia kila kitu tunaenda kufanana nao.
Upo sahihi katika hili, kabisa. Ila kwa hapa TZ... Haya tusubiri!hio mbona kawaida wee huoni mashoga wanavojinadi huko mitandaoni na mitaani? na yanaelekea kukaribiana na idadi ya wanawake.
TZ na Africa sasa inaenda kuwa kama nchi za ulaya kwa kila jambo na ndo tunapoelekea.
nonsense!
Wewe ni "ke" au "me"!!???Mama amejua kuzichanga karata vyema....
Hana maana kuwa amewatenga WANAUME...
Akina mama ndio wapiga kura....
Isisahaulike mh.Rais analenga "women empowerment"....na si kosa.....
SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA aaamin [emoji120]
Awamu ya waimba taarabu na baikoko kazi mnayo tarajieni mipasho na maneno ya shombo kutoka malkia mtukufu Hangaya.Habari zenu wakuu?
Kwa kauli za Rais Samia jana sikuzifurahia kabisa, kwani ni za kibaguzi.
Hazina tofaugi na kauli za kidini kama ile aliyoitoa Lowassa akiwa KKT Tabora 2015.
Katiba yetu ya JMT ibara ya 13(2), (4)(5)(6) na ibara ndogo (a) mpaka (e).
zinakataza mamlaka yoyote kuweka ubaguzi dhahiri au kwa taathira yake.
Chini ya sheria Na.4 ya 1992 ib.8 zikisomwa kwa pamoja na sheria Na.3 ib.3 ya 2000.
Sasa kwanini Katiba inavunjwa?
Nashaurinwashauri wa mama wampe maneno ya kusema.
Kuna watu hata ndani ya chama cha mapinduzi wanausaka Urais naona kawanyooshaView attachment 1940069View attachment 1940070
maandiko yazingatiwe, ila pia tambua zama zimebadilika, usilinganishe miaka 1,000 ilopita na sasa hivi.Hujajibu swali, dunia kuwa ya zamani kwa hiyo maandiko pia ni ya zamani? Hivyo yasizingatiwe?
Usawa wa kijinsia isiwe kichaka cha kuweka watu wasio na uwezo kwenye uongozi, hakuna sababu yoyote inayohalalisha kuweka mtu asiye na uwezo kwenye uongoziCCM hakitabakia kuwa cha Wanawake makini bali kitakuwa cha Wanawake wazee waliochubuka na mikorogo waroho wa Bia.
Usawa wa kijinsia isiwe kichaka cha kuweka watu wasio na uwezo kwenye uongozi, hakuna sababu yoyote inayohalalisha kuweka mtu asiye na uwezo kwenye uongozikwani kuna ubaya mwanamke akiwa Rais?
Usawa wa kijinsia isiwe kichaka cha kuweka watu wasio na uwezo kwenye uongozi, hakuna sababu yoyote inayohalalisha kuweka mtu asiye na uwezo kwenye uongoziLeta evidence she is rejected material?? anyway na hii rejection kama ipo ina matter?? whether you like her not she is there to stay....tena ana haki ya kugombea kama mtanzania mwingine yeyote
Nini tofauti ya kuongoza na kutawala? Je, Rais JPM alikuwa anatawala au anaongoza? Hiyo moja, mbili ni hii[emoji116][emoji116]maandiko yazingatiwe, ila pia tambua zama zimebadilika, usilinganishe miaka 1,000 ilopita na sasa hivi.
Kwa mfano: Enzi za kina musa binadam wapo waloishi mpaka kufikisha umri wa miaka 300 hadi 500. Hivi sasa ni nani mwenyeuwezo wa kufkisha umri wa miaka 300?
Afu vitabu vitakatifu havijakataza mwanamke kuongoza bali mwanaume atawale. Kuna uongozi na utawala.
Kiasilia mwanamume ameumbwa awe mtawala, kwa mwanamke
kuanzia maumbile, mabavu, misuli na nguvu tofauti na mwanamke alivofanyika kutoka kwa mwanamume.
Ila kwenye masuala mengine kama ya uongozi n.k ni jukumu la wote mwanamume na mwanamke, maana wote wamepewa ubongo na akili.
Yaani dah! Mwenda zake atusumbue, na huyu naye?Hajiamini huyu mwanamama, kila akiongea anagusia huo uanamke wake.
Mfuate huko kuzimu akaendelee kukuongoza kwani tatizo liko wapi?Huyu Mwamba sijui alikufaje [emoji33] watanzania ni kama tuko ndotoni. Itafikia siku kila ulimi utakiri tulipoteza kiongozi wa kweli na shujaa wa taifa.View attachment 1940403
tatizo huelewi maana ya uongozi na utawala.Nini tofauti ya kuongoza na kutawala? Je, Rais JPM alikuwa anatawala au anaongoza? Hiyo moja, mbili ni hii[emoji116][emoji116]
Umesema zama zimebadilika, ni kweli si uongo. Kwa hiyo kama maandiko yaliagiza mwanamke asimtawale mwanaume, yanatakiwa kupuuzwa kwani yalilenga tu zama zile na si hizi?
Je, unajua kuwa maandiko yanasema yeyote anayepunguza au kuongeza maana ya maandiko ana hatia? Hii ni kusema kuwa yote yatapita, ila neno la MUNGU halitopita. Iko wazi mwanamke hajapewa mamlaka ya kumtawala mwanaume.
Huu si mfumo dume, bali ni agizo la yule aliyekuumba wewe na mimi.
Hivyo basi, maandiko hayabadiliki.
Ahsante, umesema utawala ni nguvu asilia kutoka kwa Mungu(kwa hiyo mwanaume atamtawala mwanamke), ni sahihi wala sipingi.tatizo huelewi maana ya uongozi na utawala.
utawala maana yake ni nguvu asilia kutoka kwa Mungu. Ndo maana mfalme ni mtawala na anaamini ameteuliwa na Mungu.
Ila uongozi ni usimamizi anaokabidhiwa mtu na wanadam kwa msaada wa Mungu.
Mwanamke kuwa kiongozi bado haimuondolei mwanamume utawala. Maana hata kimaumbile mwanaume amewekewa nguvu na misuli zaidi ya mwanamke ili amtawale mwanamke na si mwanamke amtawale mwanamume.
Ila inapokuja swala la kuongaza, hilo ni jukumu na haki ya wote. Maana wote wamepewa akili. Usichanganye kutawala na kuongoza. Ni maneno mawili tofauti.