Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Salam wakuu.
Ni taasisi /agent/ saccos gani (ukiacha mabenki) naweza kupata mkopo wa TZS 1.000.000 haraka ndani ya siku moja? Hata kama mtu binafsi sawa tu.
Nina nyumba.gari.
Naomba kujua na viambatanisho vyake.
Nipo Mkoani Arusha.
SHIDA: Nauguliwa.
Asanteni
Ni taasisi /agent/ saccos gani (ukiacha mabenki) naweza kupata mkopo wa TZS 1.000.000 haraka ndani ya siku moja? Hata kama mtu binafsi sawa tu.
Nina nyumba.gari.
Naomba kujua na viambatanisho vyake.
Nipo Mkoani Arusha.
SHIDA: Nauguliwa.
Asanteni