Ni tabia gani huzipendi?

Ni tabia gani huzipendi?

lukas charles

Member
Joined
Jan 5, 2017
Posts
82
Reaction score
47
Watu wanao nikumbusha matukio hangu ya zamani kwenye hadhara siwapendi.

Watu wanaotaka sifa waonapo mgeni machoni mwao na kuanza kujikombakomba kudhalilisha wenzake ili mradi aonekane na yeye yupo siwapendi. Mtu unaongea nae neno la siri baadae analitoa hadharani tena kwa kicheko cha nguvu simpendi.

Mtu anaepinga kila kitu hata kama hana ufafanuzi yani hakijui anachokipinga simpend. Mtu anaona kila mtu ni wa kawaida kwake yani anadharau kila akifanyacho mwenzake spendi.

Ongezea na wewe nani humpendi ili ajirekebishe tabia leo hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanao nikumbusha matukio hangu ya zamani kwenye hadhara siwapendi.

Watu wanaotaka sifa waonapo mgeni machoni mwao na kuanza kujikombakomba kudhalilisha wenzake ili mradi aonekane na yeye yupo siwapendi. Mtu unaongea nae neno la siri baadae analitoa hadharani tena kwa kicheko cha nguvu simpendi.

Mtu anaepinga kila kitu hata kama hana ufafanuzi yani hakijui anachokipinga simpend. Mtu anaona kila mtu ni wa kawaida kwake yani anadharau kila akifanyacho mwenzake spendi.

Ongezea na wewe nani humpendi ili ajirekebishe tabia leo hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anayemchukia mtu mwingine for who he/she is, ni mbinafsi na hafai.. Jifunze kuwa muungwana as long as ur dignity is intact.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwapendi watu wanaowabagua na kuwachukia wenzao kwa misingi ya udini,ukabila au rangi ya ngozi,heshimu binadamu wote kwani kila binadamu ana haki ya kuishi kwa amani na kuheshimiwa.
 
Spendi Manzi Kunifata PM)Prince Mikazo)then ananiuliza nafanya kazi gani nikimwambia me mwanafunzi. anastisha chatting apoapo hajibu tena text..Najiskiaga vibaya sana.
 
Back
Top Bottom