Ni tabia gani mbaya unayo na unaipenda?

kukojoa alafu nadanganya sijakojoa ili niunganishe humohumo!
 
Kutamani Mkund# na matako....



Sijui Nani kanifundisha
 
Dharau.... Yan kila nikiachaaa huwa najikuta tu nishadharau mtu....
Ila huu msema usimdharau usiye mjua una kaunafiki flani hivi, maana wengine bora uwadharau tu hata kama humjui....
Kinachofanya udharau mtu usiyemjua ni nini? Aidanna
 
Mimi Nina kijitabia sikipendi kabisa. Tabia ya kupenda kuangalia kina mama wenye makalio makubwa.
Nyingine Tena ya aibu Ni hii ya kutembelea wilaya ya uvinza mkoani Kigoma. Yaani nashindwa kujizuia kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…