Ni tabia gani mbaya unayo na unaipenda?

Kutongoza wanawake,kwa kweli nisipotongoza sipati amani kabisa,kipindi nasoma nilikuwa natongoza shule nzima,yani hakuna binti utakuta sijamtongoza[emoji26]
Umenikumbusha mmasai mmoja [emoji1787] [emoji23]
 
[emoji28][emoji28]
 
Duuu kaka ii tabia imekukaa moyoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…