Ni Tanzania pekee ambako Serikali inahudumia Law Soceaty, za huko Duniani zinajihudumia zenyewe

Ni Tanzania pekee ambako Serikali inahudumia Law Soceaty, za huko Duniani zinajihudumia zenyewe

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Mpaka sasa nimekamilisha kupitia Law societies za nchi kadhaa ila zote nimekuta zinajiensesha zenyewe kwa michango yao, hi ni tofauti na TLS ambayo sasa ni semeu ya Serikali.

Inafikirisha sana pale unapo ona Watu wanao tegemewa kwamba hawa ndio msaada wa mwisho au tumaini la mwisho, wanapo unga juhudi mkono.

Ni sawa na Mzazi unakuwa na Vijana 6 na kati ya hao 5 wote ni mashoga na huyo mmoja ndio unaamini ndio mwanaume wa shoka pekee, ila unavunjwa moyo pale unapo kuja kuambiwa na huyo wa 6 na yeye sio riziki. Sasa ndio ilivyo TLS kwamba hawa ndio wapinga rushwa ndio waoibga takrima ila na wao wanaunga tela.

Hawa ni wanasheria wasomi ambao wanapaswa kusimama na kusaidia kushauri Serikali ila inasikitisha sana kuwakuta wanaunga jududi kwa kununuliwa V8.

Kwamba wanachama wote wanashindwa kuchanga kununua gari sio lazima iwe gari ya anasa.

Hizi gari za anasa ndio wananchi tunazipiga vita make haziendani na hali halisi ya maisha ya watu,Serikali iko adicted na magari ya anasa huku raia wakifa kwa kukosa panado, au maiti zao kushikiliwa mochwari hadi walipe gharama za matibabu. Wakati huo huo Serikali Barabarani kumejaaa magari ya kifahari tupu.

Sasa wale wanao paswa kudaia raia kupaza sauti kuhusu magari ya anasa, na wao ghafla ni sehemu ya tatizo.

Kule Kenya au hata Uganda, mfano, Serikali ya Kenya au Uganda haiwezi jaribu ujinga wa kwenda kuwahonga gari LSK, wale wako radhi watumie pikipipiki ila sio kuunga juhudi.

Soma Pia: TLS yapokea gari jipya kutoka Serikalini. Makamu wa Rais TLS asema msaada huo haumaanishi kuwa chama hicho kimenunuliwa

Law Societiea ni mara 100 hata kupanda Bajaji kwenda kufanya mambo yenu kuliko kukubali kupewa V8.Hii ni mmehongwa mnyamaze kimya. Usitarajie tamko lolote la maana kutoka kwa hawa watu tena.

Watakuwa wanazuga na yale matamko ya kawaida kabisa ya danganya toto.

Pia msisahau walisha pewa Kiwanja na Serikali kule Arusha wajenge offisi zao. Hawa ndio mawakili Wasomi wa Tanzania.
 
mkuu watanzania 99% ni njaa/na akili ndogo sana ukitupa nafasi tuna unga juhudi
Mbaya ni kwamba ilitegemewa njaa iwe kwa watu ambao hawajenda shule, ila sasa walio enda shule ndio njaa zimehamia kwenye ubongo kabisa.

Bora hata na raia ambao hawajawahi enda shule.
 
Taasisi yoyote ni watu, ikiwemo TLS , serikali hadi taifa.
Kama watu ambao huunda hizo taasisi wana matatizo fulani, lazima maambukizi yaendelee hadi ipatikane kinga au dawa.
 
Mpaka sasa nimekamilisha kupitia Law societies za nchi kadhaa ila zote nimekuta zinajiensesha zenyewe kwa michango yao, hi ni tofauti na TLS ambayo sasa ni semeu ya Serikali.

Inafikirisha sana pale unapo ona Watu wanao tegemewa kwamba hawa ndio msaada wa mwisho au tumaini la mwisho, wanapo unga juhudi mkono.

Ni sawa na Mzazi unakuwa na Vijana 6 na kati ya hao 5 wote ni mashoga na huyo mmoja ndio unaamini ndio mwanaume wa shoka pekee, ila unavunjwa moyo pale unapo kuja kuambiwa na huyo wa 6 na yeye sio riziki. Sasa ndio ilivyo TLS kwamba hawa ndio wapinga rushwa ndio waoibga takrima ila na wao wanaunga tela.

Hawa ni wanasheria wasomi ambao wanapaswa kusimama na kusaidia kushauri Serikali ila inasikitisha sana kuwakuta wanaunga jududi kwa kununuliwa V8.

Kwamba wanachama wote wanashindwa kuchanga kununua gari sio lazima iwe gari ya anasa.

Hizi gari za anasa ndio wananchi tunazipiga vita make haziendani na hali halisi ya maisha ya watu,Serikali iko adicted na magari ya anasa huku raia wakifa kwa kukosa panado, au maiti zao kushikiliwa mochwari hadi walipe gharama za matibabu. Wakati huo huo Serikali Barabarani kumejaaa magari ya kifahari tupu.

Sasa wale wanao paswa kudaia raia kupaza sauti kuhusu magari ya anasa, na wao ghafla ni sehemu ya tatizo.

Kule Kenya au hata Uganda, mfano, Serikali ya Kenya au Uganda haiwezi jaribu ujinga wa kwenda kuwahonga gari LSK, wale wako radhi watumie pikipipiki ila sio kuunga juhudi.

Soma Pia: TLS yapokea gari jipya kutoka Serikalini. Makamu wa Rais TLS asema msaada huo haumaanishi kuwa chama hicho kimenunuliwa

Law Societiea ni mara 100 hata kupanda Bajaji kwenda kufanya mambo yenu kuliko kukubali kupewa V8.Hii ni mmehongwa mnyamaze kimya. Usitarajie tamko lolote la maana kutoka kwa hawa watu tena.

Watakuwa wanazuga na yale matamko ya kawaida kabisa ya danganya toto.

Pia msisahau walisha pewa Kiwanja na Serikali kule Arusha wajenge offisi zao. Hawa ndio mawakili Wasomi wa Tanzania.
Mwambukusi alisema miimili yote ya serikali imeisha Pallalas e,kuanzia Mahakama hadi Bunge vyote vimebemendwa na serikali, Sasahivi naye anaenda kubemendwa 🤣😂🤣 usicheze na kitu kinachoitwa serikali hasa inayoongozwa na CCM 😂😂😁 nikupe V8 alafu uniseme vibaya 😆😆 yangu macho.
 
Mihimili 2 kati ya 3 ni tegemezi na ndiyo maana haiko huru.

Taasisi muhimu kama LHRC, TLS, INEC na ofisi ya CAG zilipaswa kuwa huru kuanzia muundo, fedha za kujiendesha na upatikanaji wa watendaji na uwajibikaji wao.

Lkn katiba yetu ni mbovu. Kila kitu RIA ndiye bosi.
 
Sijawahi kuona nchi ya malimbukeni..kuanzia viongozi na waongozwao..hivi gari dunia ya leo unaweza kuona ni kitu adimu au cha maana sana..gari??? gari si ni torori tu..? ni nyenzo kusaidia kazi, yaani gari inachota akili yako yoote, si ujuha huu, serikali inashindana na sekta binafsi kununua v8 kwa hela za watu, yaani serikali imekuwa vehicle kutimiza ulimbukeni wa majuha..! Gari ni la kuhonga watu kweli...? ili wasikukosoe.., yaani huyu waziri hata kwa kumwangalia tu..unashangaa sijui amefikaje hapo, lbd uchawi!
 
Back
Top Bottom