Ni Tanzania Pekee!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Ni Tanzania tu
Ambapo utaona kwenye SHELI wameandika
*LIPA KWA M-PESA*
Halafu pembeni wameandika
*TAFADHARI ZIMA SIMU*

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watanzania sio wa Mchezo mchezo.
 
Ni Tanzania tu
Ambapo utaona kwenye SHELI wameandika
*LIPA KWA M-PESA*
Halafu pembeni wameandika
*TAFADHARI ZIMA SIMU*

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watanzania sio wa Mchezo mchezo.
Hivi Sheli (SHELL) ina maana ya kituo cha mafuta? Navyojua mimi kampuni ya SHELL ilishafunga/kufa muda mrefu.
 
Hivi Sheli (SHELL) ina maana ya kituo cha mafuta? Navyojua mimi kampuni ya SHELL ilishafunga/kufa muda mrefu.
Upo sahihi ... shell ni kampuni ya mafuta .... jina sahihi kwa kituo cha mafuta ni filling station... lakini kampuni ya shell haijafa mzee ni hapa bongo tu ndo huioni ila bado ina survive kwenye nchi za watu mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…