Kristonsia Nkya
JF-Expert Member
- Jun 24, 2013
- 302
- 292
Kumbe na wewe huku ni verified member, am your Fb Friend, hongera mkuu*Ni Tanzania pekee unakutana na mtu amezunguka kutwa nzima amepigwa jua huku anauza kitabu kilichoandikwa*
*NJIA YAKUWA BILIONEA KWA MTAJI MDOGO*
Ebu tupia na ya kwako tucheke wote..hii nchi ni yetu sote[emoji16][emoji16][emoji16]
Pamoja mkuu!! Tupo pamoja tunasoma kwanza upepo tujue pakuanzia[emoji14]Kumbe na wewe huku ni verified member, am your Fb Friend, hongera mkuu
Sasa si pengine anauza hicho kitabu ndio apate huo mtaji mdogo wakuanzia? Pengine yeye ni muuzaji tu na si mmiliki wa hicho kitabu.*Ni Tanzania pekee unakutana na mtu amezunguka kutwa nzima amepigwa jua huku anauza kitabu kilichoandikwa*
*NJIA YAKUWA BILIONEA KWA MTAJI MDOGO*
Ebu tupia na ya kwako tucheke wote..hii nchi ni yetu sote[emoji16][emoji16][emoji16]
Pamoja mkuu!! Tupo pamoja tunasoma kwanza upepo tujue pakuanzia[emoji14]Kumbe na wewe huku ni verified member, am your Fb Friend, hongera mkuu
Pamoja mkuu!! Tupo pamoja tunasoma kwanza upepo tujue pakuanzia[emoji14]Kumbe na wewe huku ni verified member, am your Fb Friend, hongera mkuu
Hata wewe umeandikiwa[emoji5]Musiangaike na uyu mtu kwasababu uyu anayeuza kitabu kidogo anaufahamu kwamba elimu Ni ufunguo wa maisha ,Sasa uyu jamaa anaokota vyupa hivyo ana future kweli uyu yaani aliyeandika hii story ,Sasa wee unabisha nini mi namfahamu bana izi sms anaindikiwa