Ni taratibu zipi za kufuata ili kufungua Photo Studio

Ni taratibu zipi za kufuata ili kufungua Photo Studio

Inog01

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
1,291
Reaction score
1,961
Habarini wanajukwaa, naomba kujua taratibu muhimu za kiserikali za kuzingatia kabla ya kufungua photo studio.

Ahsante nawasilisha
 
Chukua mkataba wa pango nenda TRA Kachukue Barua utakayoipeleka serikali za mitaa kujazwa kwa utambulisho.


Hiyo Barua atairudisha Tena TRA ili upewe TIN namba na Tax Clearance. Then utaenda halmshauri kuchukua leseni ya biashara si zaidi ya 100,000 kwa mwaka.


Hapo uko tayari kuanza biashara bila kutafutana ubaya na "NASEMA UONGO NDUGU ZANGUUUUUU"
 
Back
Top Bottom