Ni tatizo gani hili wataalamu?

Ni tatizo gani hili wataalamu?

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
ANAOMBA MSAADA
Niwapo hedhi naumwa sana na tumbo hasa maeneo ya nyonga pia lina jaa sana,miguu inajaa nahisi kuchoka muda wote had kumaliza siku, pia nakuwa na hasira kupita kias nisaidien plz!
 
Back
Top Bottom