Ni timu ngapi zinashiriki ligi kuu Tanzania???

Ni timu ngapi zinashiriki ligi kuu Tanzania???

Freetown

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
882
Reaction score
78
Jamani naomba kuuliza ni timu ngapi zinashiriki ligi kuu Tanzania bara? kwani kwenye internet nasoma tu kuwa timu fulani imeshinda lakini hawaandiki msimamo wa ligi ulivyo kama zilivyo ligi nyingine.
Jamani naomba tuwekeeni hapa nasi tujue kinachoendelea
 
Jamani naomba kuuliza ni timu ngapi zinashiriki ligi kuu Tanzania bara? kwani kwenye internet nasoma tu kuwa timu fulani imeshinda lakini hawaandiki msimamo wa ligi ulivyo kama zilivyo ligi nyingine.
Jamani naomba tuwekeeni hapa nasi tujue kinachoendelea

Timu 12 - Simba, Kagera Sugar, Yanga, Azam, Toto Africa, Mtibwa, Moro Utd., JKT Ruvu, Polisi Moro., Prisons, Polisi Dom. na Villa Squad.
 
Back
Top Bottom